Thursday, March 29, 2012

WIKI YA MAJI

Askofu wa kanisa la Anglikana dayosisi ya Kagera Dk.Aron Kijanjali akipanda mti rafiki wa maji katika chanzo kipya cha maji safi cha Mubwilinde,baada ya kuzindua mradi huo.
Katibu wa TUMAINI FUND ambao ndio wamefanikisha ujenzi wa mradi wa maji safi katika kijiji cha Mubwilinde Bw.David Kibenza,akipanda mti rafiki wa maji kando ya chanzo hicho mara baada ya Askofu Kijanjali kuufungua mradi huo.
Wanafunzi wa shule ya msingi Mubwilinde wakitoa burudani kwa watu waliohudhuria uzinduzi wa mradi wa maji safi katika kijiji cha Mubwilinde

No comments:

Post a Comment