Askofu wa kanisa la Anglikana dayosisi ya Kagera Dk.Aron Kijanjali akipanda mti rafiki wa maji katika chanzo kipya cha maji safi cha Mubwilinde,baada ya kuzindua mradi huo. |
Wanafunzi wa shule ya msingi Mubwilinde wakitoa burudani kwa watu waliohudhuria uzinduzi wa mradi wa maji safi katika kijiji cha Mubwilinde |
No comments:
Post a Comment