Thursday, March 29, 2012

WIKI YA MAJI

Askofu wa kanisa la Anglikana dayosisi ya Kagera Dk.Aron Kijanjali akiwaongoza mamia ya wakazi wa kijiji cha Mubwilinde katika sala kabla ya kuzindua mradi wa maji safi kwa wakazi wa kijiji hicho.Mwanzo kushoto ni Mratibu wa mradi huo ambaye ni katibu wa mfuko wa Tumaini Bw.David Kibenza
Askofu wa kanisa la Anglikana dayosisi ya Kagera Dk.Aron Kijanjali akifungua mradi wa maji katika kijiji cha Mubwilinde kata ya Bukiriro wilayani Ngara.Mradi huo umejengwa kwa ufadhili wa kanisa hilo kupitia Mfuko wa Tumaini.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mubwilinde ambao pia watanufaika na mradi huo wakifuatilia kwa makini wakati Askofu Kijanjali alipokuwa akifungua mradi huo.
Wananchi wa kijiji cha Mubwilinde wakifurahia kwa ngoma baada ya kujengewa mradi wa maji safi na salama

No comments:

Post a Comment