Tuesday, June 12, 2012

TUNABADILI JINA

Nawashukuru wadau wote wa NGARALIVE kwa kuendelea kuwa karibu na BLOG yenu ili kupata taarifa mbali mbali zinazojili wilayani kwetu.Hata hivyo nasikitika kuwataarifu kuwa kwa sasa nabadili jina na maudhui ya BLOG hii.Nimelazimika kufanya hivyo kutokana na kuhamisha makazi yangu.Awali nilikuwa wilayani Ngara lakini kwa sasa nahamia Mkoani MWANZA kikazi,hivyo haitakuwa rahisi mimi kupatra kile kinachojiri NGARA kwa wakati husika.
Kwa hali hiyo nitakuwa naweka taarifa za kitaifa,japo na zile za NGARA zitakuwa zinapewa kipaumbele,kwa hiyo tegemeeni kuona mabadiliko ya taarifa kutoka NGARALIVE inayobadilika kuwa DOXLIN JASSON.BLOGSPOT.COM
ASANTENI...........